- Joined
- Jun 3, 2023
- Messages
- 2,714
- Reaction score
- 6,233
- Points
- 113
Toileti mzee inapata tabuuu, utafanya prezidenta aniengue tu cheo twangu wengine kifua hatuna
Toileti mzee inapata tabuuu, utafanya prezidenta aniengue tu cheo twangu wengine kifua hatuna
Siku moja moja unatuoa out wanazengo wenzioDah DP world imenipa mawazo sana ngoja nile kwanza nipate nguvuView attachment 310
daah nikila kama hivi tumbo lazima lishangaeDah DP world imenipa mawazo sana ngoja nile kwanza nipate nguvuView attachment 310
Ushazoea kupiga karanga, nazi na mihogo ukishushia na harufu ya babycare kwa mikonodaah nikila kama hivi tumbo lazima lishangae
lazima nikimbize mwenge vibaya mno kunipa last warning
nataka nianze zoezi hili, ila toa BabyCare hapoUshazoea kupiga karanga, nazi na mihogo ukishushia na harufu ya babycare kwa mikono
zikowapi dagaa mbona sizioniKaribuni tule misumari leo
View attachment 315
Nakaziazikowapi dagaa mbona sizioni
itakua una macho mabovu... dagaa zote hizo jamanizikowapi dagaa mbona sizioni
Muone na huyuNakazia
una moyo sana... mi nikila dagaa napenda nile misumari tuitakua una macho mabovu... dagaa zote hizo jamani
Me siwezi aisee,,lazima nichanganye na bamia na nyanyachunguuna moyo sana... mi nikila dagaa napenda nile misumari tu
siku jua kama hizi ni dagaaa nilichoona mimi ni hiyo pili pili tu dear ex kumbe unapata tabu hivi huwa unapata haja kweli?Karibuni tule misumari leo
View attachment 315
Napata vizuri kabisa,, karibu tule tena saizsiku jua kama hizi ni dagaaa nilichoona mimi ni hiyo pili pili tu dear ex kumbe unapata tabu hivi huwa unapata haja kweli?
Karibuni tule misumari leo
View attachment 315
nimekung'uta hii leo asubuhi, na peppers pembeni na chumvi swafi kabisa
wanaziita chipsi dumenimekung'uta hii leo asubuhi, na peppers pembeni na chumvi swafi kabisa
ishi milele mama ahlam
dah tumbo lako litakuwa limelomaa sana sio kwa kupiga huu msosi kila siku
ni chakula cha asubuhidah tumbo lako litakuwa limelomaa sana sio kwa kupiga huu msosi kila siku
Habari!Hello
Kwema humuHabari!
Tupo poaKwema humu
Karibu sanaHello
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.