Uzi wa picha ya chakula unachokula - Take a photo of food you are eating

Mijinga hiyo, ukiwa dsm unakosaje demu labda kama umeamua tu. Kuwapotezea ila humu wapo wa kutosha.

Huyo @mshamba_mkuu na baridi la mbeya sijui atapata wapi joto 🤣🤣🤣.

@Hakimu si anataka kuwa tajiri yy alisema mapenzi hayamhusu. 😁😁😁
haha mshamba hadi ndevu zina chawa. Hakim domo zege hana lolote😬
 
Acha kudanganya wewe mi natumia sana vitunguu swaum lkn ukiniona kama machine basi tunasema heavy duty
heavy duty machine 🤣
basi nilivyokuwa nakuwazia utakuwa mwembamba

kweli vaa baibui kwa wingi😬
Nataka nianze mazoezi nimejitahidi kiwa vegetarian sijapata watu tupeane moyo
 

Similar threads

Bwana Yesu Asifiwe? Tumsifu Yesu Kristo? Mwana kondoo ameshinda! Shalom shalom! Najua mko poa kabsaa, lengo la uzi huu ni kucomment somo ulilojifunza siku ya juma pili, kama hunapata shida kuandika unapost tu neno pekeake bila maelezo, hivyo yani kwanzia kesho natarajia mtatuma ili tujifunze...
Replies
21
Views
727
Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya kuwatoa udenda au kuwatamanisha wana kijiji. Embe na Kichumvi kwa mbali😋😋
Replies
17
Views
717
Wanaume !! Kila mwenye jinsia ya kiume anaweza kuwa mwanaume, lakini sio wote wenye uwezo wa kuwa wanaume wanaostahili kuitwa wanaume. Je sifa za mwanaume ni hizi? Wanaume halisi ni sugu; hawapaswi kulia? Mwanaume hatakiwi kula chips mayai? Wanaume halisi hawakubali yeyote awaongoze? Wanaume ni...
Replies
44
Views
911
Oya weee leo tumention misemo iliyowahi kutamba sana mitaani Kula chuma hicho Apeche alolo Shega
Replies
48
Views
1K
Wasalaam Binafsi mimi sipo kwenye kundi lolote bado. Ila ningependa kuwa kwenye kundi la vegetarians hapo baadae. Hapa tunatupia recipes za vegans au vegetarians ili tuwe na range kubwa ya vyakula. Vegetarians- Hawa hawatumii nyama wala samaki kwenye milo yao au bidhaa au vyakula vilivyopikwa...
Replies
45
Views
942

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top