mshamba_mkuu
New member
- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 1,563
- Reaction score
- 4,525
- Points
- 0
mihogo hailiwi usikuOya nimeamza na punje mbili najisikia kichefu chefu View attachment 477
kachumbari ikowapi unaniangusha
mihogo hailiwi usikuOya nimeamza na punje mbili najisikia kichefu chefu View attachment 477
Unataka nile nyaya kama sungura acha hizomihogo hailiwi usiku
kachumbari ikowapi unaniangusha
sasa mihogo bila kachumbari ni ama pilau bila nyamaUnataka nile nyaya kama sungura acha hizo
Huwa nakula nyama pilau wakati wewe unakula pilau nyama. Mzee ukila sana makachumbari unaweza geuka mbuzisasa mihogo bila kachumbari ni ama pilau bila nyama
@mshamba_mkuu kakariri huwezi kula mihogo bila kachumbaField ntakufa aseee View attachment 464
mihogo na kachumbari vimenilea@mshamba_mkuu kakariri huwezi kula mihogo bila kachumba
mchaga ila sijawahi kukuona ukila machalari, kiburu, kitawaOya ngoja nirudi kule kwa zamani humu kwenye mihogo sikuweziView attachment 483View attachment 482View attachment 484View attachment 485
Hiyo mbona ni kitunguu cha kisasa hicho hakofai mkuu tumia cha kienyeji aseee.Oya nimeamza na punje mbili najisikia kichefu chefu View attachment 477
hivyo nakula sana sana sana almost every week nakula kiburu. Nikipost watu hawachelew kupondamchaga ila sijawahi kukuona ukila machalari, kiburu, kitawa
vya kienyeji vikoje mbona nimemenya huoni kifundo hapoHiyo mbona ni kitunguu cha kisasa hicho hakofai mkuu tumia cha kienyeji aseee.
Hivyo vina madawa sio natural.
machalari ya kitimoto ndo yenyeweSema napenda sana ndizi za maharage.
Hivi vitunguu mara ya mwisho kuviona ni 1999. Oya unaishi wapi mzee mods wanatakiwa wawe wanaishi DarHivi ndo vya kienyeji umeona rangi yake ilivyo tofauti na yako aka natural ones.
View attachment 487
safi....@mshamba_mkuu ikabidi nikate kachumbari
View attachment 491
Nikakumbuka kuwa sijawake vitunguu swaumu @Omo baba lowo ikabidi niweke View attachment 492
@Hakimu hapa nilipo nimepishana na mtu akaniuliza jirani siju hizi unauza vitunguu swaumu. Naogopa hata kupiga chafya naweza haribu mazingiraView attachment 493
Unataka nilambe vidole kama mtoto wa kikesafi....
sasa mihogo hailiwi na umma usirudie tena kosa
we ndo mshamba mihogo inaliwa kwa mkonoUnataka nilambe vidole kama mtoto wa kike
Acha ufala
. Aseee kazi ipo@mshamba_mkuu ikabidi nikate kachumbari
View attachment 491
Nikakumbuka kuwa sijawake vitunguu swaumu @Omo baba lowo ikabidi niweke View attachment 492
@Hakimu hapa nilipo nimepishana na mtu akaniuliza jirani siju hizi unauza vitunguu swaumu. Naogopa hata kupiga chafya naweza haribu mazingiraView attachment 493
mzee unataka niishi kimasikini wakati nyumbani umma zipo?we ndo mshamba mihogo inaliwa kwa mkono
Oya funguka ni namna gazi unazuia kukimbiwa na wanawake kwa kunuka vitunguu swaumu. Aseee kazi ipo
We jamaa vitunguu saumu ni vyakula usiku wakati unaenda kulala mkuu. Haaa kumbe we unakula asubuhi unakichaa sio .Oya funguka ni namna gazi unazuia kukimbiwa na wanawake kwa kunuka vitunguu swaumu
nikisalimia watu nabana najifanya naangalia mazingira
Sasa kama hutoi maelekezo ya ziada unazingua sana we teacher mnokoWe jamaa vitunguu saumu ni vyakula usiku wakati unaenda kulala mkuu. Haaa kumbe we unakula asubuhi unakichaa sio .
Acha ushamba mkuu mi ukiniona nakula mchana najua kuwa siwezi toka.
Ila kioindi hichi cha field nazitumia usiku tu. Asubuhi napiga mswaki harufu yote haimo
PoleSasa kama hutoi maelekezo ya ziada unazingua sana we teacher mnoko
Unaogopa yataivunja,hayo yakikaa juu na ukute liko na uzito wa maana,akikosea tu kidogo akaikalia ikiwa iko wima anaeza ivunja kwa ule uzito,kanuni ya kwanza kwa mshangaz ni usimruhusu aje juuhah mashangazi mimi siwawezi ila ukatibu atachukua @D'UsséV$OP Cognac maana anapenda mashangazi kweli kweli.
@Urban Edmund hana baya huyu hawezi kula hela zetu
Kuna uzi humu jamaa kakaliwa sasa yuko ICU. NitakutagUnaogopa yataivunja,hayo yakikaa juu na ukute liko na uzito wa maana,akikosea tu kidogo akaikalia ikiwa iko wima anaeza ivunja kwa ule uzito,kanuni ya kwanza kwa mshangaz ni usimruhusu aje juu
. Na bado nimekonda tu
View attachment 561
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.